Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 03, 2025 Local time: 08:42

Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi

Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.

Makundi

XS
SM
MD
LG