Washambulizi wa Al-Shabab wameshambulia chuo kikuu cha Garissa, kaskazini mashariki ya Kenya na kusababisha vifo vya takriban watu 70 kulingana namaafisa wa serikali na zaidi ya 70 kujeruhiwa.
Al-Shabab washambulia chuo kikuu cha Garissa Kenya

10
Wanafunzi bila ya sharti wakitoka kwenye bweni la chuo kikuu cha Garissa

11
Kenya University Attack

12
Students of Garissa University College take shelter in a vehicle after fleeing from an attack by gunmen in Garissa, April 2, 2015.

13
Maafisa wa polisi wa Kenya wachukua hifadhi nje ya chuo kikuu cha Garissa, April 2, 2015.