Hatua hiyo inakuja wakati viongozi wa Umoja wa Ulaya walipokusanyika Alhamisi mjini Brussels, pamoja na
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy kwenye mkutano ili kujadili kuimarisha ulinzi matumizi na kuimarisha ahadi za kuiunga mkono Ukraine katika mapambano yake dhidi ya uvamizi wa Russia.
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema kabla ya mazungumzo hayo kuwa wanachama wa EU watachukua hatua madhubuti kusonga mbele huku akielezea wasiwasi wake juu ya mabadiliko ya msaada wa Marekani.
Forum