Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan apokea ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serekali.

Your browser doesn’t support HTML5

Wananchi wa Tanzania wataka uwajibikaji zaidi kwa taasisi za serekali ambazo mara kwa mara ripoti ya CAG huzionyesha kuwa na hati chafu. Viongozi wa Marekani, Uingereza, Ujerumani na Italy, wametoa wito kwa mataifa ya magharibi kutolegeza msimamo wake dhidi ya Russia.