Marekani na Uingereza zaomba Russia iondolewe kwenye Baraza la haki za binadamu la Umoja wa mataifa.
Your browser doesn’t support HTML5
Marekani inasema wakati umewadia kwa Baraza kuu la Umoja wa mataifa kupiga kura ya kuiondoa Russia kwenye Baraza la Umoja wa mataifa la haki za binadamu, kufuatia madai ya mauaji ya kikatili yaliyofanywa na wanajeshi wa Russia katika mji wa Ukraine wa Bucha.