Wasiwasi kufuatia ripoti kuwa Waafrika milioni 346 wanakabiliwa na baa la njaa

Your browser doesn’t support HTML5

Shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu linasema kwamba robo ya watu wote barani Afrika wanakabiliwa na mzozo mbaya wa njaa kutokana na sababu mbalimbali lakini suala hilo halipewi umuhimu unaostahiki.