Tunaangazia tuhuma kwamba baadhi ya wasanii wanabuni kashfa ili kujipatia umaarufu na pesa.

Your browser doesn’t support HTML5

Wasanii nchini Kenya waelezea kuridhika kwao na sheria iliyotiwa saini na Rais Uhuru Kenyatta kuhakikisha kwamba wanapata hadi asili mia 52 ya ada zinazotozwa wakati sanaa yao inapotumika, tofauti na ilivokuwa awali ambapo walilipwa tu asili mia 16.