Wanawake na watoto waliokimbia mapigano Kivu Kaskazini wapitia hali ngumu

Your browser doesn’t support HTML5

Huko Rutshuru Kivu Kaskazini wanawake na watoto wanaokimbia mapigano kati ya waasi wa M23 na jeshi la serikali wanapitia hali mbaya na ngumu ya kimaisha katika shule ambazo zimewahifadhi kwa muda katika Mji wa Rutshuru Kivu Kaskazini.