Ongezeko la bei ya bidhaa nyingine lashuhudiwa Tanzania baada ya mafuta kupanda bei.

Your browser doesn’t support HTML5

Bei ya mafuta imepanda nchini Tanzania huku mfumuko wa bei nchini ukikua kwa wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.3 mwaka 2020. Raia tayari wanalalamikia ongezeko kubwa la gharama ya maisha.