Askofu Bagonza anasema amefurahishwa na matamshi ya Rais Samia alipoelezea migawanyiko ndani ya nchi
Your browser doesn’t support HTML5
Rais Samia wa Tanzania alisema kuna kazi ya kuirudisha nchi kuwa moja baada ya kutetereka kwa migawanyiko ya udini, ukabila na itikadi. Jambo ambalo limeungwa mkono na askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza