Kampuni ya Uber yasitisha huduma zake Tanzania

Your browser doesn’t support HTML5

Uber imetangaza kusitisha huduma zake nchini Tanzania, ikitaja nauli elekezi za Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini -LATRA kama sababu ya maamuzi hayo na kudai itarejesha huduma zake kwa nchi hiyo iwapo sheria zitabadilishwa.