Bei ya mafuta Kenya yaongezwa huku uhaba ukiendelea kushuhudiwa kote nchini
Your browser doesn’t support HTML5
Mzozo wa uhaba wa mafuta nchini Kenya unaendelea kutokota licha ya Waziri wa kawi Monica Juma kutangaza hatua kali alizosema zitachukuliwa dhidi ya wanaohodhi bidhaa hiyo huku bei ya mafuta ikiongezwa na mamlaka ya EPRA.