Waandishi wapiga darubini ripoti kuu wiki hii, zikiwa pamoja na kampuni ya Uber kusitisha shughuli Tanzania

Your browser doesn’t support HTML5

Waandishi kutoka maeneo mbalimbali wanamulika habari kuu za wiki na jinsi zilivyoripotiwa, zikiwa ni pamoja na wasiwasi ulioibuliwa na baa la njaa Afrika Mashariki, mgogoro wa uhaba wa mafuta nchini Kenya na kampuni ya Uber kusitisha shughuli zake nchini Tanzania.