Mzozo wa kibinadamu nchini Ukraine ni changamoto kubwa mno kwa jumuiya ya kimataifa

Your browser doesn’t support HTML5

Umoja wa Mataifa unasema idadi ya wakimbizi kutoka Ukraine imefikia milioni 5 huku wengine milioni 7 wakitafuta hifadhi ndani ya nchi hiyo katika kile kinachoelezwa kama moja ya mizozo mibaya zaidi ya kibinadamu katika historia.