Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alitoa wito kwa vikosi vya kijeshi vya Burkina Faso, Guinea na Mali kurudisha madaraka kwa raia

Your browser doesn’t support HTML5

ECOWAS iliweka vikwazo vikali dhidi ya nchi ya Mali mwezi Januari baada ya serikali ya kijeshi ilipokataa kurejesha haraka utawala wa kiraia. Imetishia vikwazo kama hivyo dhidi ya Guinea na Burkina Faso kama zitashindwa kuwezesha mpito wa haraka kwa utawala wa kiraia ndani ya muda unaofaa