Waislamu waanza sikukuu ya Eid Ul-Fitr huku wakilalamikia gharama ya maisha
Your browser doesn’t support HTML5
Baadhi ya Waislam katika maneo mbalimbali duniani wameanza kusherehekea Eid Ul-Fitr, sikukuu inayomaanisha kumalizika kwa mfungo baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhan, wakati ambapo gharama ya maisha imependa kwa kiwango kikubwa.