Rais wa Tanzania awasihi viongozi wa Arika kushirikiana na wanahabari
Your browser doesn’t support HTML5
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasihi viongozi wa Afrika kushirikiana na wanahabari.
Mwenyekiti jukwaa la wahariri Tanzania asema uhuru wa vyombo vya habari umekuwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita Afrika mashariki.