Wanawake wa Kenya wakosoa uamuzi wa mahakama kuhusu agizo la IEBC la uteuzi wa anagalau theluthi moja ya wanawake
Your browser doesn’t support HTML5
Kufuatia hatua ya mahakama kuu ya Kenya Alhamisi kusitisha maagizo ya tume ya uchaguzi na mipaka IEBC, yakivitaka vyama vya kisiasa kuteua angalau theluthi moja ya kila jinsia, baadhi ya wanawake wamekosoa uamuzi huo kama usiotilia maanani umuhimu wa kuiwezesha jinsia ya kike.