Raila Odinga amtangaza mgombea wake mwenza siku moja baada ya William Rutto kufanya hivyo.

Your browser doesn’t support HTML5

Raila Odinga amemtangaza Martha Karua kama mgombea wake mwenza kwa uchaguzi mkuu wa Kenya. Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika imetimiza miaka 60, ni mabadiliko gani yamejitokeza? Ukraine yadai kurejesha nyuma vikosi vya Russia katika eneo la Kharkiv.