Wamarekani waadhimisha sikukuu ya mashujaa

Your browser doesn’t support HTML5

Wamarekani wanaadhimisha siku ya mashujaa , ambayo inawakumbuka wanajeshi wa Marekani waliokufa wakilitumikia taifa lao. Gwaride lilifanyika mjini Washington baada ya kutofanyika kwa miaka miwili kwa sababu ya janga la COVID.