Visa vya ukatili wa kingono dhidi ya watoto pamoja na mauaji ya wapenzi na wanandoa vimeongezeka sana katika siku ya karibuni.

Your browser doesn’t support HTML5

Kutokana na hali hiyo maafisa wa Ustawi wa Jamii kutoka Mwanza wamezindua program ya kuhamasisha wanafunzi kuhusu usalama wao na namna ya kuwasilisha ripoti iwapo wako hatarini.