Serikali ya Kenya imetangaza lazima ya uvaaji barakoa kwenye maeneo ya umma kutokana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya Corona
Your browser doesn’t support HTML5
Watu wanaoshindwa kuvaa barakoa katika maeneo ya umma nchini Kenya wanaweza kufungwa jela au kutozwa faini ya hadi shilingi 20,000 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Covid-19