Serikali ya Libya na makundi ya upinzani yanashutumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu inaeleza ripoti ya wachunguzi kutoka UN

Your browser doesn’t support HTML5

Hii ni ripoti ya tatu ya tume huru inayoangazia ukweli kuhusu Libya tangu ilipoanza kuandika madai ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo mwaka 2016. Wachunguzi wanaona kwamba Libya ni nchi isiyoheshimu sheria ambapo wahalifu wa uhalifu wa kimataifa hawawajibiki kwa matendo yao.