Wazairi wa mambo ya nje wa Russia, Sergei Lavrov akutana na Rais Museveni

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri wa mambo ya nje wa Russia, amefanya mkutano na wanahabari akiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda. Mhitimu wa Yali, Zubeda Sakuru aelezea jamna mpango wa Mandela Fellowship ulivyo mwezesha kupata ujuzi zaidi wa kiutawala.