Marekani inatazamiwa kutoa takwimu za ukuaji wa uchumi.

Your browser doesn’t support HTML5

Marekani inatazamiwa kutoa takwimu za ukuaji wa uchumi kuanzia Aprili hadi Juni huku kukiwa na hofu kwamba uchumi unaweza kukaribia kudorora. Watabiri walikadiria ukuaji mdogo katika robo ya pili ya chini ya asilimia moja. .