Mawakili wa Ruto: Kesi hii ni ya kupangwa, haina ukweli wowote, sawa na hekaya
Your browser doesn’t support HTML5
Mawakili wa rais mteule wa Kenya Dr. William Ruto, wamesema kwamba "kesi iliyo mahakamani kupinga ushindi wa Ruto ni njama iliyopangwa, isiyo na ukweli wowote na sawa na hekaya".