Jukwaa la Waandishi: Wanahabari wajadili masuala yaliyogonga vichwa vya habari

Your browser doesn’t support HTML5

Waandishi Khalifa Said, Christine Ojiambo na John Kibego wajadili kesi ya uchaguzi Kenya, mgogoro wa tozo Tanzania, na mkutano wa mawaziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda na Uganda.