Vijana wataka kupewa nafasi zaidi katika mabadiliko ya hali ya hewa.
Your browser doesn’t support HTML5
VIjana wanataka kuona mabadilko katika suala zima la changamoto za mabadiliko ya hali ya hewa .Wakati Rais wa Kenya William Rutto akitarajiwa kuongoza mkutano wa viongozi wa Afrika kuhusiana na cahanagmoto za mabadiliko ya hali ya hewa mjini New York.