Kwa Undani: Maoni ya waandishi kuhusu hotuba za viongozi wa Afrika Mashariki na rais Biden UN na mswaada wa bima ya afya Tanzania
Your browser doesn’t support HTML5
Waandishi wameeleza kuhusu hotuba za viongozi wa Afrika mashariki na rais Biden UN, mswaada wa bima ya afya kwa wote Tanzania na Wabunge wapya nchini Kenya, watishia kuivunja Tume ya kuratibu Mishahara ya Umma, SRC