Siku ya makazi Duniani

Your browser doesn’t support HTML5

Katika kuadhimishwa kwa siku ya makazi duniani, vijana watakiwa kufikiria namna ya kujipatia makazi yao mapema. Vitendo vya unyanyasaji wa kingono vyaongezeka Kenya na jamii yatakiwa kushughulika kumaliza tatizo hilo.