Vijana wanatakiwa kufikiria njia mbadala za kujiajiri wenyewe badala ya kusubiri ajira kutoka serikalini au sekta binafsi

Your browser doesn’t support HTML5

Kamisaa wa Sensa Kitaifa huko Tanzania Anna Makinda amewataka vijana wasomi kujitengenezea uchumi wao binafsi kupitia fursa zilizoko kwenye maeneo wanayoishi kuliko kutegemea ajira kutoka serikalini au sekta binafsi