Afrika Kusini kurekebisha mkakati wake wa kupambana na ufisadi
Your browser doesn’t support HTML5
Afrika Kusini itarekebisha mkakati wake wa kupambana na ufisadi na kuhakikisha uhuru wa waendesha mashtaka, Rais Cyril Ramaphosa alisema Jumapili, akijibu mapendekezo kutoka kwenye uchunguzi wa serikali kuhusu madai ya ufisadi chini ya mtangulizi wake.