Wakazi wakimbia makazi yao DRC mashariki kwa kuhofia waasi wa M23
Your browser doesn’t support HTML5
Wasiwasi mkubwa umeshuhudiwa katika Mji wa Rutshururu huko Kivu kaskaskazini mashariki mwa DRC kufuatia uwepo wa waasi wa M23 katika eneo la karibu na kijiji cha Matebe .