Wakazi wakimbia makazi yao DRC mashariki kwa kuhofia waasi wa M23

Your browser doesn’t support HTML5

Wasiwasi mkubwa umeshuhudiwa katika Mji wa Rutshururu huko Kivu kaskaskazini mashariki mwa DRC kufuatia uwepo wa waasi wa M23 katika eneo la karibu na kijiji cha Matebe .