Mashirika ya kutetea haki za wanawake Afrika Kusini yaelezea ghadhabu yao

Your browser doesn’t support HTML5

Mashirika ya kutetea haki za wanawake Afrika Kusini, yalielezea ghadhabu yao Alhamisi na kuwakosoa Polisi kwa kudhaniwa kuwa wameshindwa, baada ya mashtaka kufutwa dhidi ya wanaume 14, wanaotuhumiwa kwa ubakaji.