Hisia mseto baada ya DRC kumfukuza balozi wa Rwanda

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati huo huo, hisia mseto zimeendelea kutolewa kufuatia hatua ya utawala wa Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kumfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, huku hali ya usalama ikiendelea kuzorota kwenye mpaka wa DRC na Rwanda.