Raia wa DRC wameandamana karibu na mpaka wa Rwanda wakidai kwamba Rwanda inafadhili waasi wa M23

Your browser doesn’t support HTML5

Kuibuka tena kwa kundi la M23 limeyumbisha uhusiano wa kikanda katika Afrika ya kati huku Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) ikimshutumu jirani yake Rwanda kwa kuwaunga mkono wanamgambo hao waasi