Uchumi wa bahari Kenya wakumbwa na changamoto

Your browser doesn’t support HTML5

Kuna wasiwasi kuhusu kupatikana kwa mafanikio kamili katika mpango wa Serikali ya Kenya wa kuzalisha uchumi wa baharini maarufu, blue economy , iwapo baadhi ya sekta zinazohusishwa na mpango huo zitakosa kuimarika pamoja na kutoa fursa za kibiashara.