Jioni: Makamanda wa jeshi la Ethiopia na Tigray wanakutana Nairobi kujadili namna ya kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.