Matokeo kufuatia uchaguzi wa katikati ya muhula nchini Marekani yanaendelea kutolewa

Your browser doesn’t support HTML5

Chama cha Republican kinaelekea kupata ushindi wa kudhibiti baraza la wawakilishi huku matokeo zaidi yakiendelea kumiminika kutoka wagombea wa vyama vyote vilivyohusika