Mradi wa kimataifa wapania kuwasaidia wafugaji Kenya kuhimidi hali ya ukame
Your browser doesn’t support HTML5
Jamii za wafugaji nchini Kenya, hususan Kaskazini mwa nchi hiyo, zinafaidika kutokana na mradi mkubwa wa kimataifa wa kusafisha gesi ya carbon, katika maeneo ya malisho kama njia ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa.