Wanaharakati wa hali ya hewa nchini Misri wameandamana Jumanne wakitaka nchi za magharibi kuacha kufadhili miradi mipya ya gesi kwa Afrika

Your browser doesn’t support HTML5

Mataifa ya Magharibi yametaka kuongeza nguvu zao kufuatia uvamizi wa Russia nchini Ukraine na miradi mipya ya gesi katika bara la Afrika. "Nchi za kaskazini mwa dunia zimekuwa zikinunua gesi barani Afrika kwa kutumia mgogoro wa nishati wa sasa, vita vya Ukraine na umaskini wa nishati barani Afrika