Wapigakura jimbo la Georgia nchini Marekani wanapiga kura kumchagua Warnock au Walker kushikilia kiti cha Seneti kinachoangaziwa kwa makini

Your browser doesn’t support HTML5

Upigaji kura wa marudio ni kati ya Seneta aliyepo madarakani wa chama cha Democratic Raphael Warnock na mpinzani wake anayeibuka kisiasa wa chama cha Republican Herschel Walker ambaye anaungwa mkono na Rais wa zamani Donald Trump