EU imemuwekea vikwazo mfanyabiashara wa dhahabu wa Ubelgiji, wakuu wa waasi na jeshi la Congo kwa ukiukwaji wa haki za binadamu DRC

Your browser doesn’t support HTML5

Watu hao 17 yakiwemo makundi ya ADF, CODECO, Mai Mai Yakatumba, M23, FDLR sasa wanakabiliwa na hatua za kuzuiwa EU hadi Disemba 2023 inajumuisha marufuku ya kusafiri na kuzuia mali Baraza la Umoja wa Ulaya (EU) limesema katika taarifa kwa vyombo vya habari