Papa Francis awashukuru watu wa Sudan Kusini kwa upendo waliomuonyesha

Your browser doesn’t support HTML5

Papa Francis aliwasihi watu wa Sudan Kusini siku ya Jumapili kupinga “sumu ya chuki” ili waweze kupata amani na ustawi ambao umewakimbia kupitia miaka mingi ya vita vya kikabila vya umwagaji damu.