Rais Joe Biden asifiwa kwa hotuba yake juu ya Hali ya Taifa, iliyozungumzia mafanikio na matarajio yake ya mwaka huu.

  • Abdushakur Aboud

Your browser doesn’t support HTML5

Rais Joe Biden ameanza ziara ya majimbo 20 kuzungumzia mipango yake ya maendeleo baada ya kutoa hotuba juu ya Hali ya Taifa Bungeni.