Rapa wa Afrika Kusini Costa Titch alifariki dunia akiwa jukwaani alipokuwa akitumbuiza, polisi waeleza
Your browser doesn’t support HTML5
Rapa wa Afrika Kusini Costa Titch alifariki dunia akiwa jukwaani alipokuwa akitumbuiza, polisi walisema Jumapili, walipofungua uchunguzi kuhusu mazingira ya kifo cha ghafla cha kijana huyo mwenye umri wa miaka 28.