Hali ya afya ya wanawake na vijana wa Afrika Mashariki huku siku ya Afya Duniani ikiadhimishwa

Your browser doesn’t support HTML5

Siku ya Afya Duniani ni siku ambayo pia Umoja wa Mataifa ulianzishwa manamo mwaka wa 1948. Leo siku hii imeadhimishwa kote. Tunaangazia mafanikio na changamoto kwa wanawake na vijana katika ukanda wa Afrika Mashariki kuhusiana na utoaji wa huduma ya afya.