Ramaphosa asema viongozi wa Afrika watajadili na Putin hatma ya mpango wa kusafirisha nafaka.

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema viongozi wa Afrika watajadili na Rais Vladmir Putin wa Russia juu ya hatma ya mpango wa kusafirisha nafaka kupitia bahari ya Black Sea.