Wachambuzi wazungumzia hali ya Israel baada ya bunge kuidhinisha sheria ya kuleta marekebisho kwenye mfumo wa mahakama.

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.