Umoja wa Mataifa watangaza kufungwa rasmi kwa ofisi zake za haki za binadamu nchini Uganda
Your browser doesn’t support HTML5
Msemaji wa kamishna mkuu, Ravina Sham-dasani, aliiambia VOA kwamba serikali iliifahamisha Turk mwezi Februari kwamba haitasaini upya mkataba wa nchi mwenyeji, ambao unaruhusu ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa kufanya kazi nchini humo.